Lissu amjibu Magufuli..
Mbunge wa Singida Mashariki kwa tiketi ya Chadema, Tundu Lissu.
Tundu Lissu, Mwanasheria Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) amesema kauli za Dk John Magufuli, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni za kibaguzi na zinavunja umoja wa kitaifa.
Aidha Magufuli amesema “Wale wanaotangaza kufanya maandamano, watangulie wao wenyewe na watakiona cha mtema kuni. Mimi nataka watangulie wao wasiwatangulize watoto wa masikini,” amesema Rais Magufuli huku akiongeza kuwa;
Source:Mwamahalisionline.com

Maoni
Chapisha Maoni