Miili ya watu waliopata ajari ya ndege imewasili uholanzi



Ndege mbili za kijeshi zilizobeba miili 40 kati ya 282 ya abiria wale waliofariki kutokana na mkasa wa ndege ya malaysia iliyodunguliwa huko mashariki mwa ukraine, imewasili uholanzi.(Story na Picha kutoka BBC Swahili).

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Wachezaji Ligi Kuu wakatiwa Bima ya Afya...

Orodha ya nchi 10 zaidi duniani zenye idadi kubwa ya watu kuliko nchi nyingine (2000-2015) na Nigeria ikiwa ndio nchi ya pekee kutoka bara la Afrika