Miili ya watu waliopata ajari ya ndege imewasili uholanzi
Ndege mbili za kijeshi zilizobeba miili 40 kati ya 282 ya abiria wale waliofariki kutokana na mkasa wa ndege ya malaysia iliyodunguliwa huko mashariki mwa ukraine, imewasili uholanzi.(Story na Picha kutoka BBC Swahili).
Maoni
Chapisha Maoni