Taswira ya barabara katika maeneo ya Tanesco ubungo jijini Dar es salaam.

Ni muonekano wa barabara (Morogoro Road)itakayo tumika na mabasi yaendayo kwa kasi jijini humo ikiwa imeanza kukamilika kwa kiasi chake na taswira kwa ujumla ya anga safi lilotanda jijini Dar es salaam.(Picha na Akajanja)


Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Wachezaji Ligi Kuu wakatiwa Bima ya Afya...

Imetangazwa noti yenye muonekano mzuri kuliko zote duniani kwa mwaka 2016..