BREAKING NEWS:Monaco inafanya mazungumzo na Mbappe juu ya kuongeza mkataba..
Pata kiungo
Facebook
X
Pinterest
Barua pepe
Programu Nyingine
Kylian Mbappe
Klabu ya Monaco inafanya mazungumzo na mshambuliaji Kylian Mbappe juu ya kuongeza mkataba kwa mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 18, hayo yamesemwa na Makamu wa Rais wa Klabu hiyo.
Maoni
Chapisha Maoni