Mastaa wa soka kwenye muonekano wa kustaajabisha >>Balotelli, David Luiz na Ibrahimovic wamo pia...

Wachezaji mpira ni miongoni mwa watu maarufu sana kutokana na kazi yao kupendwa au kuwa na mashabiki wengi kutoka sehemu mbalimbali, miongoni mwa vitu ambavyo huwezi kuvidhania kama unaweza kuviona kwa mastaa wako wa soka ambao umezoea kuwaona wakiwa katika muonekano uliozoeleka kuonekana labda wakiwa katika mechi au matukio ya kawaida.

List ya mastaa wa soka wakiwa katika muonekano wa kustaajabisha.

Dani Alves
download (1)
Dani Alves akiwa na wigi alilovaa baada ya timu yake ya taifa kutwaa taji.

Andrey Arshavin
download (2)
Ni mchezaji wa zamani wa Arsenal anatajwa kuwa sio miongoni mwa watu wanaouchukulia mchezo wa mpira wa miguu serious.


Mario Balotelli
download (3)















Eidha awe anaendesha gari yake au anashangilia baada ya kufunga goli Balotelli huwa hayuko mbali sana na headlines za vyombo vya habari.


Antonio Cassano
download (4)
Antonio Cassano akishangilia ushindi wa goli 2-0 Italy ikiifunga Ufaransa katika michuano ya euro 2008.



Zlatan Ibrahimovic
download (6)
Zlatan Ibrahimovic wakati alipovua nguo uwanjani huku akionekana sio mtu mwenye hofu.


Stephen Ireland
download (7)

Kiungo wa zamani wa klabu ya Manchester City Stephen akishangilia goli kwa staili ya kuvua bukta


David Luiz
download (8)
David Luiz beki ghali wa klabu ya PSG ya Ufaransa akishangilia goli



SOURCE:Millardayo.com



Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Imetangazwa noti yenye muonekano mzuri kuliko zote duniani kwa mwaka 2016..

Picha 10 za Ikulu zilizo nzuri zaidi Duniani...