Aliyekuwa Mgombea Wa Nafasi Ya Urais Kupitia Chama Cha Demokrasia Na Maendeleo (CHADEMA) Kwa Mwamvuli wa UKAWA, leo Amepata Fursa Ya Kusimamishwa Na Wakulima Wachache Wa Eneo La Dumila Na Kuwasalimu Wananchi Hao.
Mkutano wa Mwaka wa ‘International Bank Note Society’s ‘IBNS’ umetambua ubunifu wa kutengeneza noti za fedha zenye muonekano mzuri na usalama zaidi. Katika mkutano wao wa mwaka IBNS wameitangaza noti ya Dollar 5 ya New Zealand kuwa noti nzuri ya Mwaka kwenye mashindano ya kimataifa ambapo noti ishirini kutoka duniani kote zilikuwa zimeteuliwa kuwania tuzo hiyo na mshindi alichaguliwa na wanachama wa IBNS . Hizi ni baadhi ya noti ambazo zilishindanishwa pamoja na noti ya New zealand Sweden’s 20 kronor Noti ya Scotland £ 5 Source:Millardayo.com
Maoni
Chapisha Maoni