PICHA YA SIKU NA TASWIRA BLOG..

Katika dakika ya mwisho KRC Genk hatimaye imemnasa  mshambuliaji iliyotumia muda na maarifa kuinasa saini yake kutoka katika klabu yake ya TP Mazembe. Samatta aliwasili jana  Brussels na alisafiri moja kwa moja kuelekea Genk .
































Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Wachezaji Ligi Kuu wakatiwa Bima ya Afya...

Orodha ya nchi 10 zaidi duniani zenye idadi kubwa ya watu kuliko nchi nyingine (2000-2015) na Nigeria ikiwa ndio nchi ya pekee kutoka bara la Afrika