PICHA YA SIKU NA TASWIRA BLOG..

Katika dakika ya mwisho KRC Genk hatimaye imemnasa  mshambuliaji iliyotumia muda na maarifa kuinasa saini yake kutoka katika klabu yake ya TP Mazembe. Samatta aliwasili jana  Brussels na alisafiri moja kwa moja kuelekea Genk .
































Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Picha 10 za Ikulu zilizo nzuri zaidi Duniani...

Tanzania ni miongoni mwa nchi za Africa zenye viwanja vichache vya michezo.