Panya watafiti wa mabomu na TB Morogoro...


Kwa kawaida panya akionekana machoni pa mwanadamu anauawa ama hata kutegwa na kupewa sumu lakini sio hawa panya wa Sokoine.
Wakaazi wa mkoa wa Morogoro wanafahamu faida ya panya.
Lakini sio hao panya wa mwituni la !
Watafiti katika chuo kikuu cha Sokoine wanafanya utafiti unaohusu panya wa kipekee katika mradi wa Apopo.
Panya hao maalum wanatumika kwa shughuli ya kuchunguza mabomu yaliyofichwa ardhini mbali na ugonjwa wa kifua kikuu TB.










SOURCE:Bbc Swahili

















Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Imetangazwa noti yenye muonekano mzuri kuliko zote duniani kwa mwaka 2016..

Picha 10 za Ikulu zilizo nzuri zaidi Duniani...