MITANDAO YA KIJAMII IMEFUNGWA NCHINI UGANDA KATIKA KIPINDI HIKI CHA UCHAGUZI..

Mitandao ya kijamii imefungwa kwa lengo la kuzuia mawasiliano kwa wananchi wa Uganda kwa kupeana taarifa za uchaguzi unaoendelea nchini humo. Ikiwa na lengo la kuzuia taarifa zisizo rasmi juu ya matokeo ya uchaguzi huo.






Source:VyprVPN (Twitter)

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Wachezaji Ligi Kuu wakatiwa Bima ya Afya...

Orodha ya nchi 10 zaidi duniani zenye idadi kubwa ya watu kuliko nchi nyingine (2000-2015) na Nigeria ikiwa ndio nchi ya pekee kutoka bara la Afrika