PICHA YA SIKU NA TASWIRA BLOG..

Butogwa Charles Shija msichana aliyeshika namba moja kwa wanafunzi wote Tanzania waliofanya mtihani wa form four na kuibuka kinara kwa matokeo yake.

Taswira Blog inampongeza sana kwa matokeo yake mazuri, pia inampa pongezi nyingi Mchina Congcong Wang kwa kuwa wa pili kitaifa.

Congcong Wang akiwa na mama yake.

























Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Wachezaji Ligi Kuu wakatiwa Bima ya Afya...

Orodha ya nchi 10 zaidi duniani zenye idadi kubwa ya watu kuliko nchi nyingine (2000-2015) na Nigeria ikiwa ndio nchi ya pekee kutoka bara la Afrika