Burundi yatangaza tarehe za uchaguzi Pata kiungo Facebook X Pinterest Barua pepe Programu Nyingine Juni 08, 2015 Tume ya taifa nchini Burundi imetangaza ratiba ya tarehe ya kufanyika kwa uchaguzi mkuu wa Rais na wabunge. Hata hivyo, msemaji wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi ya Burundi Prosper Naugwania amesema bado vyama vya siasa havijatoa kauli kuhusu tarehe hizo. Awali, Halima Nyanza alizungumza na Msemaji huyo wa Tume ya uchaguzi ya Burundi nae anaanza kwa kuzitaja tarehe hizo. Source(Bbc swahili) Pata kiungo Facebook X Pinterest Barua pepe Programu Nyingine Maoni
Maoni
Chapisha Maoni