Haki magerezani zakiukwa Congo.

Nchini Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo, Shirika la haki za binadamu la ASPROVIKI limewasilisha ombi kwa mahakama ya mkoa wa kivu ya kaskazini, kutaka Mkurugezi wa Gereza kuu la MUNZENZE mjini Goma afikishwe mbele ya vyombo vya sheria, kwa tuhuma za kuwanyanyasa wafungwa.
Mwandishi wa BBC Mashariki mwa Congo BYOBE MALENGA, na taarifa zaidi.
Source(Bbc swahili)

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Orodha ya nchi 10 zaidi duniani zenye idadi kubwa ya watu kuliko nchi nyingine (2000-2015) na Nigeria ikiwa ndio nchi ya pekee kutoka bara la Afrika

Wachezaji Ligi Kuu wakatiwa Bima ya Afya...