FIFA yawapa marufuku maafisa wa soka Congo


Fifa

Maafisa wawili wa shirikisho la soka nchini Congo Brazaville wamepigwa marufuku na shirikisho la soka duniani FIFA kwa ukiukaji wa maadili.
Makamu wa rais Jean Guy Blaise Mayolas na katibu mkuu Badji Mombo Wantete hawakubaliwi kushiriki katika maswala yoyote ya soka katika darafa la kitaifa na kimataifa.
Taarifa hiyo iliotolewa na FIFA imesema kuwa uamuzi huo ulichukuliwa baada ya wawili hao kukiuka kanuni na maadili ya FIFA.
Shirikisho hilo hatahivyo halikutoa maelezo zaidi kuhusu hatua yao.
Source(Bbc swahili)









Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Orodha ya nchi 10 zaidi duniani zenye idadi kubwa ya watu kuliko nchi nyingine (2000-2015) na Nigeria ikiwa ndio nchi ya pekee kutoka bara la Afrika

Wachezaji Ligi Kuu wakatiwa Bima ya Afya...