Walimu wakataa kurudi kazini


Shambuliz la Garissa
Walimu ambao walilitoroka eneo la kazkazini mashariki mwa Kenya wakihofia mashambulizi kutoka kwa kundi la wapiganaji wa Al shabaab wamekataa kurudi eneo hilo.
Mwandishi wa BBC Bashkas Jugsodaay alielezea katika kipindi cha Newsday kwamba asilimia 60 ya walimu hawatoki katika eneo hilo na waliokwenda likizo wengi wamekataa kurudi.
Ameelezea kuwa takriban walimu 2000 wamelitoroka eneo hilo na kwamba nusu ya idadi ya shule za eneo hilo zimefungwa.
Amesema kuwa wafanyikazi wa uma pia wamelitoroka eneo hilo.
Source(Bbc Swahili)










Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Orodha ya nchi 10 zaidi duniani zenye idadi kubwa ya watu kuliko nchi nyingine (2000-2015) na Nigeria ikiwa ndio nchi ya pekee kutoka bara la Afrika

Wachezaji Ligi Kuu wakatiwa Bima ya Afya...