CCM, Chadema Wakwepa Mdahalo Wa Urais.



Wagombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Dk John Magufuli, pamoja na Edward Lowassa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wameshindwa kushiriki mdahalo maalum wa wagombea urais ulioandaliwa na Taasisi ya Twaweza pamoja na wadau wengine.








SOURCE:Muungwana blog


































Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Picha 10 za Ikulu zilizo nzuri zaidi Duniani...

Tanzania ni miongoni mwa nchi za Africa zenye viwanja vichache vya michezo.